Lengo letu katika Huduma ya Watoto ni kuanzisha TAS — Vijana, Wagunduzi na Shule ya Jumapili — ili kila kundi la umri lifundishwe neno la Mungu kwa kiwango linaloweza kulipokea.
Tunawalea watoto katika maandiko, maombi na huduma, na kuwapa nafasi ya kugundua na kutumia vipawa vyao tangu wakiwa wadogo.
← Huduma zote